Katika
kushereea sikukuu ya Eid El Fitr, kumefanyika swala ya Eid katika
viwanja vya Mwembe Yanga, Dar es Salaam na waumini wa dini ya Kiislam
walipata nafasi ya kusali kwa pamoja kumshukuru Mungu kwa kumaliza mwezi
Mtukufu wa Ramadhani salama.
Kali ya habari
0 maoni:
Chapisha Maoni