Mkuu
wa mkoa wa Singida, Mhandisi Mathew Mtigumwe (kulia) akimkabidhi
nyaraka zenye miongozo ya uwajibikaji, Mkuu mpya wa Wilaya ya Manyoni,
Mwambe Idelphonce Geoffrey.(Picha na Nathaniel Limu)
Kali ya habari
Mkuu
wa mkoa wa Singida Mhansisi, Mathew Mtigumwe (kulia), akimwapisha Mkuu
mpya wa Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Mwambe Idelphonce Geoffrey.
Hafla hiyo ilifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa
mkoa mjini humo. Dc Mwambe hakuweza kuhudhurua uapishwaji uliofanywa
wiki iliyopita kwa wakuu wengine wa wilaya mkoani Singida, kwa kile
kilichodaiwa alikuwa nje ya nchi kikazi.
Hongera sana kaka Mwambe. Kachape kazi sasa tunakuamini
JibuFuta