Matukio
katika picha za Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape
Moses Nnauye katika ufunguzi wa mashindano ya magari Afrika Mashariki
(East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka
10 mwaka huu kwenye hafla fupi iliyofanyika viwanja vya Hotel ya
Southern Sun Jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akipokea
zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Hotel ya
Southern Sun Jijini Dar es Salaam kufungua mashindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) yanayofanyika kuanzia
Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akifurahi
jambo pamoja na Rais wa Automobile Association of Tanzania Bw. Nizar
Jivani(Kulia), Kaimu Katibu Mkuu Baraza la Michezo la Taifa(BMT) Bw.
Mohamed Kiganja (wa tatu kulia) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya
magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally)
yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
akitambulishwa kwa baadhi ya madereva wa mashindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) na Rais wa Automobile
Association of Tanzania Bw. Nizar Jivani (Kulia) mashindano hayo
yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
akijadiliana jambo na Rais wa Automobile Association of Tanzania Bw.
Nizar Jivani (Kulia) wakati alipowasili katika ufunguzi wa mashindano ya
magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally)
yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Rais
wa Automobile Association of Tanzania Bw. Nizar Jivani akizungumza
wakati wa hafla ya ufunguzi wa mashindano ya magari Afrika Mashariki
(East African Classic Safari Rally) iliyofanyika katika viwanja vua
Hotel ya Southern Sun Jijini Dar es Salaam mashindano hayo yanayofanyika
kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza
wakati wa hafla ya ufunguzi wa mashindano ya magari Afrika Mashariki
(East African Classic Safari Rally) hayo yanayofanyika kuanzia Julai 8
mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwa
ameweka bendera tayari kwa ajili ya kuruhusu magari kuondoka katika
viwanja vya Hotel ya Southern Sun Jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara
ya kufungua rasmi mashindano ya magari ya Afrika Mashariki (East African
Classic Safari Rally) hayo yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka
huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwa
amenyanyua bendera kuruhusu magari kuondoka katika viwanja vya Hotel ya
Southern Sun Jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara ya kufungua rasmi
mashindano ya magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari
Rally) hayo yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Kaimu
Katibu Mkuu Baraza la Michezo la Taifa(BMT) Bw. Mohamed Kiganja akiwa
katika moja ya magari yatakayotumika katika mshindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) hayo yanayofanyika kuanzia
Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwa
katika moja ya magari yatakayotumika katika mshindano ya magari Afrika
Mashariki (East African Classic Safari Rally) hayo yanayofanyika kuanzia
Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Waziri
wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akitoa
zawadi ya tunzo kwa mwakilishi wa Azam media mmoja wa wadhamini wa
mashindano ya magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari
Rally) mashindano hayo yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Moja
ya timu kutoka Uganda wakisubiri kufunguliwa kwa mashindano ya magari
Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) hayo yanayofanyika
kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.
Baadhi ya magari yakitoka katika viwanja vya Hotel ya Southern Sun
Jijini Dar es Salaam ikiwa ni ishara ya kufunguliwa rasmi mashindano ya
magari Afrika Mashariki (East African Classic Safari Rally) hayo
yanayofanyika kuanzia Julai 8 mpaka 10 mwaka huu.(Picha zote na Raymond
Mushumbusi WHUSM).
0 maoni:
Chapisha Maoni