Waziri wa Afya Zanzibar, Mh.Mahmoud Thabit Kombo amekutana na viongozi wa Jimbo la Kiembe Samaki kwa namna ya kuwapongeza na kutoa mkono  wa Sikukuu ya Eid iliyoanza jana.
DSC_0025
Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na viongozi wa Jimbo la Kiembe Samaki kabla ya kutoa mkono wa Eid
DSC_0058
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi mkono wa Eid, katibu wa Wadi ya Kiembe samaki Bi. Zainab Ali Suleiman. 
????????????????????????????????????
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi fedha mkono wa Eid, katibu wa Wadi ya Kiembe samaki Bi. Zainab Ali Suleiman.