Shirika
la ndege la RwandAir likishirikiana na Jumuiya ya Wanyarwanda waishio
nchini Tanzania wanakukarubisha kwenye usiku wa Tamaduni za Rwanda,
utakaofanyika jioni ya leo Julai 9, 2016 katika Ukumbi wa Mw. Nyerere,
Jijini Dar es salaam. Kutakuwepo na ngoma ya asili kutoka Rwanda na
wenyeji hapa Tanzania.
…Njoo ujionee na ujifunze mengi zaidi baina ya nchini hizi mbili.
0 maoni:
Chapisha Maoni