Jumamosi, 16 Julai 2016

PICHA NA MATUKIO WAZIRI JENISTA MHAGAMA ATEMBELEA OFISI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM MKOA WA IRINGA

Postedy by Esta Malibiche on July 6.7.2016

Mh.Jenista Mhagama akisaini kitabu cha wageni alipowasili ofizi ya chama cha mapinduzi ccm mkoa wa Iringa
Waziri wa Nchi,ofisi ya waziri mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira,na Walemavu Jenista Mhagama akizungumza wa viongozi wa chama cha cha mapinduzi ccm pamoja na wanaccm alipowasili katika ofisi hizo.Waziri  akiwa katika ofisi za chama cha Mapinduzi ccm Mkoa wa Iringa aliwataka wana ccm kuunga mkono juhudi za Mh.Rais D.r John Magufuli ili kuhakikisha Ilani ya chama cha mapinduzio inatekelezwa.




Wazi Mhagama alisema imekuwa ni desturi yake kila anapofanya ziara mikoani ni lazima kutembelea katika ofisi za chama chake cha Mapinduzi ambacho kimemuweka madarakani.


Katibu wa chama cha Mapinduzi ccm Mkoa wa Iringa Hassan Mtenga akizungumza  na wanaccm baada ya kutembelewa na waziri Mhagama  katika ofisi za ccm mkoa,alimpongeza waziri Mhagama kwa kutembelea ofisi ya chama cha mapinduzi na kuwataka viongozi wengine wanaotokana na chama cha mapinduzi  kuiga mfano huo.






0 maoni:

Chapisha Maoni