DSC_1029Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla akielekea katika jengo lililoezuliwa na upepo la shule ya Iyombo Itima iliyo Kata ya Budushi, Jimbo hilo la Nzega Vijijini.
DSC_1030
Jengo hilo linavyookena baada ya kuezuliwa na upepo
DSC_1031 DSC_1032
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Iyombo Itima wakiwa wanasomea nje baada ya darasa lao kuezuliwa na upepo
DSC_1045
Nje ya jengo hiloDSC_1048Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla akiangalia darasa ambalo nalo hali yake si nzuri baada ya sakafu yake kuchakaa
DSC_1060Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Iyombo Itima (Hawapo pichani) wakati alipowatembelea kutoa shukrani zake baada ya kumchagua kwenye uchaguzi uliopita.  Kulia ni Diwani wa Kata ya Budushi, Mh. Omary Maganga (Picha zote na Andrew Chale,