Alhamisi, 5 Mei 2016

MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID MWAMBUNGU AMEMSIMAMISHA KAZI AFISA UTUMISHI WA HALAMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA.



Mkuu wa mkoa wa RUVUMA SAID MWAMBUNGU amemsimamisha kazi afisa utumishi wa Halamashauri ya wilaya ya SONGEA Mkoani humo PHILBERT MTWEVE kwa kosa kuwalipa mishahara watumishi hewa 8 na kuisababishia hasara serikali zadi ya milioni 27. Soty kamili hii hapa chini kupitia Ruvuma TV

0 maoni:

Chapisha Maoni