Zikiwa
zimesalia wiki nne kabla ya kuanza kwa msimu wa 2016/2017 kwa Ligi Kuu
ya Tanzania, vilabu mbalimbali tayari vimeanza kujifua kwa ajili ya
kujiandaa na msimu mpya.
Manchester
United ni moja ya vilabu ambavyo vimeingia kambini ikiwa na kocha mpya,
Jose Mourinho na wachezaji wengine wapya ambao wamesajiliwa kutoka
vilabu mbalimbali barani Ulaya.
Mo
Blog imekuandalia picha nne za kocha Mourninho alivyoanza kibarua chake
cha kuinoa Man United katika Uwanja wa mazoezi wa Carrington.
Kocha Mourinho akiwa na msaidizi wake, Rui Faira
0 maoni:
Chapisha Maoni