Jumatano, 6 Julai 2016

DC IKUNGI ACHANGIA KIASI CHA TSH.MILL.1, 255,000 KWA AJILI YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI



MKUU wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu mapema leo amehutubia waumini wa dini ya kiislamu katika msikiti wa Ijumaa kuu Wilayani humo .
Kwa kutambua umuhimu wa Elimu nchini, Mtaturu alichangia kiasi cha Tsh.Mill.1  kwa ajili ya ujenzi wa shule ya asekondari itakayokuwa chini ya msikiti huo.
Katika hotuba yake aliwataka wananchi kuchangia shughuli za maendeleo ili wilaya hiyo iweze kusomba mbele kimaendeleo.
Ninawaomba wananchi tushirikiane  pamoja ili tuweze  kutatua changamoto mbalimbali  zinazoikabili Wilaya yetu.
Nao Wananchi walimuunga mkono mkuu huyo wa wilaya kwa kuchagia kiasi cha Tsh. 255,000 na kufanya kufikisha milioni 1, 255,000  kwa ajili ya kuanza ujenzi  wa shule hiyo.














0 maoni:

Chapisha Maoni