Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Profesa Faustine Kamuzora amezindua rasmi  safari za ndege za shirika la ndege la nchini Mauritius jijini Dar es Salaam mapema jana Mei 5.2016.
Shirika hilo limezindua safari za ndege za kutoka nchini Mauritius kuja Jijini Dar es Salaam na kutoka jijini Dar es Salaam kwenda nchini Mauritius ndege hizo zitaanza safari zake kuanzia leo Mei 6.201.
DSCF8640Makamu mkuu wa rais wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dornald Payen(katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mapema jana  Mei 5.2016. kabla ya kuzindua safari za ndege za shirika la ndee la nchini Mauritius, kushoto ni Mwenyekiti wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dr. Arjoon Suddhoo na kulia ni Mrs Kan oye Long akiwa katika mkutano wa waandishi wa habari.
DSCF8713Baadhi ya wadau wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa uzinduzi wa safari za ndege za shirika hilo za kutoka nchini Mauritius kuja Dar es Salaam na Dar es Salaam kwenda nchini Mauritius.
DSCF8732Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Profesa Faustine Kamuzora akizungumza katika uzinduzi wa Safari za ndege za shirika la ndege la nchini Mauritius jijini Dar es Salaam  jana Mei 5.2016.
DSCF8671Mwenyekiti wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dr. Arjoon Suddhoo (wa nane katikati) Picha ya Pamoja na viongozi wa shirika la ndege la nchini Mauritius jijini Dar es Salaam
IMG_4585Mwenyekiti wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dr. Arjoon Suddhoo akimkabidhi zawadi mgeni rasmi ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Profesa Faustine Kamuzora leo katika uzinduzi wa safari za ndege za shirikal la ndege la nchini Mauritius katika ukumbi wa Maqee katika hoteli ya Hyatt Rgency jijini Dar es Salaam