Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya
Mawasiliano Profesa Faustine Kamuzora amezindua rasmi safari za ndege
za shirika la ndege la nchini Mauritius jijini Dar es Salaam mapema jana
Mei 5.2016.
Shirika hilo limezindua safari za ndege za kutoka nchini Mauritius kuja Jijini Dar es Salaam na kutoka jijini Dar es Salaam kwenda nchini Mauritius ndege hizo zitaanza safari zake kuanzia leo Mei 6.201.
Makamu mkuu wa rais wa shirika la ndege la nchini Mauritius,
Dornald Payen(katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar
es Salaam mapema jana Mei 5.2016. kabla ya kuzindua safari za ndege za
shirika la ndee la nchini Mauritius, kushoto ni Mwenyekiti wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dr. Arjoon Suddhoo na kulia ni Mrs Kan oye Long akiwa katika mkutano wa waandishi wa habari.
Baadhi ya wadau wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa uzinduzi
wa safari za ndege za shirika hilo za kutoka nchini Mauritius kuja Dar
es Salaam na Dar es Salaam kwenda nchini Mauritius.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya
Mawasiliano Profesa Faustine Kamuzora akizungumza katika uzinduzi wa
Safari za ndege za shirika la ndege la nchini Mauritius jijini Dar es
Salaam jana Mei 5.2016.
Mwenyekiti wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dr. Arjoon Suddhoo (wa nane katikati) Picha ya Pamoja na viongozi wa shirika la ndege la nchini Mauritius jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa shirika la ndege la nchini Mauritius, Dr. Arjoon Suddhoo akimkabidhi zawadi mgeni rasmi ambaye ni Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya
Mawasiliano Profesa Faustine Kamuzora leo katika uzinduzi wa safari za
ndege za shirikal la ndege la nchini Mauritius katika ukumbi wa Maqee
katika hoteli ya Hyatt Rgency jijini Dar es Salaam
0 maoni:
Chapisha Maoni