Jumamosi, 25 Juni 2016

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI DODOMA JANA

b3Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akijibu miongozo ya wabunge mapema leo mara baada ya Kipindi cha maswali na majibu Bungeni Mjini Dodoma.
b4Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jafo akitoa maelezo wakati wa kipindi cha maswali na majibu kuhusu mikakati ya Serikali kuhakikisha kuwa wananchi wanapata majisafi na salama katika Halmashauri zote hapa nchini.
b2Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais  Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki akiteta jambo na Waziri wafedha na Mipango Dkt. Philip Mpango leo Bungeni Mjini Dodoma.
b6Wanafunzi wa Chuo Kikuucha Dodoma (UDOM) wakiongozwa na Afisa Habari wa Bunge  Bw. Deonisius Simba (wa kwanza kushoto) katika ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali ya Bunge kwania ya kujifunza shughulizi na zotekelezwa na Bunge.
b5Walimu na wanafunzi washule ya Marangu Hills Academy iliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati waziara ya kujifunza jinsi Bunge linavyotekeleza majukumu yake.

0 maoni:

Chapisha Maoni