Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson
akijibu miongozo ya wabunge mapema leo mara baada ya Kipindi cha maswali
na majibu Bungeni Mjini Dodoma.
Naibu
Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jafo akitoa maelezo wakati
wa kipindi cha maswali na majibu kuhusu mikakati ya Serikali kuhakikisha
kuwa wananchi wanapata majisafi na salama katika Halmashauri zote hapa
nchini.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki
akiteta jambo na Waziri wafedha na Mipango Dkt. Philip Mpango leo
Bungeni Mjini Dodoma.
Wanafunzi
wa Chuo Kikuucha Dodoma (UDOM) wakiongozwa na Afisa Habari wa Bunge
Bw. Deonisius Simba (wa kwanza kushoto) katika ziara ya kutembelea
maeneo mbalimbali ya Bunge kwania ya kujifunza shughulizi na zotekelezwa
na Bunge.
Walimu
na wanafunzi washule ya Marangu Hills Academy iliyopo Moshi Mkoani
Kilimanjaro wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati waziara ya kujifunza
jinsi Bunge linavyotekeleza majukumu yake.
0 maoni:
Chapisha Maoni