Jumapili, 1 Mei 2016

YALIYOJIRI SIKU YA MEI MOSI UWANJA WA JAMUHURI MJINI DODOMA


FRais John Pombe Magufuli , Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama  (wapili kushoto) wakishiriki kuimba wimbo maalum wa mshikamano wa wafanyakazi katika sherehe za Mei Mosi zilizofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma na kuhutubiwa na Rais, Mei 1, 2016.  Wapili kulia ni Rais wa Shirikisho la Wafanyakazi  Tanzania (TUCTA), Gratian Mukoba.
DWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wa Dodoma baada ya Rais John Magufuli kuhutubia katika sherehe za Mei Mosi kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma Mei1, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 maoni:

Chapisha Maoni