Meneja
Mradi wa Shirika l nyumba la Taifa NHC Kawe unaokwenda kwa jina la 711
Injinia Samwel Metil akitoa maelezo kwa Timu ya Menejimenti ya NHC
wote(Directors, Regional Managers & Line Managers) wakati
walipotembelea miradi ya 711 Kawe , Morocco Square, Victoria Place, Eco
Residence na Kibada ambapo ambapo pia watafanya pia kazi katiia miradi
hiyo Lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kuwafahamisha juu ya maendeleo na
changamoto za miradi hiyo.
Mmoja wa Mainjinia wa Mradi wa
711 Kawe Bw.Kishor Hirani akimelezea jambo Meneja mradi Injinia Samwel
Metil wakati menejimenti ya shirika hilo ilipotembelea katika mradi huo.
Wakuu wa vitengo mbalimbali na mameneja wa mikoa wakitembelea mradi wa 711 Kawe leo.
Mmoja wa Mameneja wa NHC kutoka
mkoani Dodoma Bw. Itandula Gambalagi pamoja na wenzake wakiwasili
kutembelea mradi wa Morocco Square.
Muungano Saguya kulia Yahya
Charahani kushoti na Itandula Gambalagi wakijadiliana jambo wakati
walipotembelea mradi wa 711 Kawe pamoja na wenzao.
Jengo la Mradi wa Eco Residents ambalo limekamilika kwa asilimia 99%.
0 maoni:
Chapisha Maoni