Jumapili, 15 Mei 2016

TANZANIA KUWA NCHI YA KWANZA DUNIANI KUTUMIA KITAMBAA KILICHOWEKEWA VIATILIFU KUDHIBITI MALARIA.

K1 Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) cha Amani mkoani Tanga Dkt. William Kisinza akiongea na waandishi wa habari kutoka Kituo cha Waandishi wa Habari wa Kimataifa (ICFJ) na Taasisi ya “Malaria No More” kutoka nchini Marekani ambao walitembelea kituo hicho mwishoni mwa wiki kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa huo.
K6Baadhi ya waandishi wa habari kutoka Kituo cha Waandishi wa Habari wa Kimataifa (ICFJ) na Taasisi ya “Malaria No More” kutoka nchini Marekani wakimsikiliza Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) cha Amani mkoani Tanga Dkt. William Kisinza (hayupo pichani) walitembelea kituo hicho mwishoni mwa wiki kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa huo.
K2Dkt. Robert Malima akitoa maelezo ya namna watafiti wanavyofanya utafiti na kuwakusanya mbu katika chumba maalum cha kufanyia utafiti kwa waandishi wa habari kutoka Kituo cha Waandishi wa Habari wa Kimataifa (ICFJ) na Taasisi ya “Malaria No More” kutoka nchini Marekani walipotembelea Kituo cha Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) cha Amani mkoani Tanga mwishoni mwa wiki kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa huo.
K3Mfanyakazi wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) cha Amani mkoani Tanga Masha Mfinanga akichambua viluwiluwi vya mbu na kuviweka kwenye kifaa maalum tayari kwa hatua nyingine za utafiti.
K4 K5   Sungura waliofugwa katika Kituo cha Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) cha Amani mkoani Tanga kwa lengo la kuwalisha mbu wanaofanyiwa utafiti, sungura mmoja ana uwezo wa kulisha mbu 1500. 

0 maoni:

Chapisha Maoni