Alhamisi, 23 Juni 2016

MBUNGE WA JIMBON LA KIKWAJUNI MHANDISI HAMAD MASAUNIN AKABIDHI JEZI ZA MASHINDANO


SAUN1Muonekane wa nyuma wa moja ya jezi zitakazotumiwa katika mashindano ya kombe la Masauni/Jazeera ,  kutoka maeneo mbalimbali katika Jimbo la Kikwajuni kama inavyoonekana.
SAUN2Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu Waziri Wizara ya  Mambo ya Ndani ya Nchi,  Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akimkabidhi nahodha wa timu ya Mkunazini, Ahmed Omari Haji ,  jezi zitakazotumiwa na timu yake wakati wa Kombe la Masauni -Jazeera, linaloanza kutimua vumbi leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja,Zanzibar. Wapili kulia ni Diwani wa kata ya Miembeni, Mbaruku Abdallah Hanga.
SAUN3Nahodha wa timu ya Kikwajuni Bondeni, Salum Said (kushoto),  akipokea jezi kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kulia).
SAUN4Nahodha wa timu ya Kikwajuni Bondeni, Salum Said (kushoto),  akipokea jezi kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kulia).
SAUN5Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, ambae pia ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,  Mhandisi Hamad Masauni (watatu kushoto), akiwa na baadhi ya viongozi na makocha  wa timu zinazotarajiwa kuanza kumenyana katika mashindano ya Kombe la Masauni-Jazeera, muda mfupi baada ya kukagua Uwanja wa Mnazi Mmoja utakaotumika kwa mashindano hayo.(Picha  na  Mpiga Picha Wetu)

0 maoni:

Chapisha Maoni