Alhamisi, 16 Juni 2016

MATUKIO ZAIDI KATIKA FUTARI ILIYOANDALIWA NA RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI IKULU

kim1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Abrahaman Kinana Ikulu kwa ajili ya futari ya pamoja na viongozi mbalimbali wa dini Ikulu jijini Dar es Salaam.
kim2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na baadhi ya viongozi wa dini mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufuturu pamoja na viongozi wengine wa dini Ikulu jijini Dar es Salaam.
kim3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Sheikh Mkuu wa mkoa wa  Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum wakati akiwasili kwa ajili ya kufuturu pamoja na viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini Ikulu jijini Dar es Salaam.

0 maoni:

Chapisha Maoni