![]() |
| Gari likipita kwa shida barabara ya Mkimbizi mjini Iringa ambayo mashimo na madimbwi mengi bila mvua kunyesha |
![]() |
| Hii ni barabara ya kuelekea Mkimbizi Bima mjini Iringa |
![]() |
| Wananchi wakilazimika kutembea kwa miguu baada ya daladala kushindwa kufika mwisho kutokana na ubovu wa barabara hiyo |
![]() |
| Madimbwi kila kona |
![]() |
| Magari yakilazimika kugeuza njiani kutokana na ubovu wa barabara |
![]() |
| Hii ndio barabara ya Mkimbizi mjini Iringa |



















0 maoni:
Chapisha Maoni