Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumamosi, 30 Julai 2016

AfDB yaahidi kuendelea kuipiga jeki Tanzania kukuza uchumi wake

Postedy by Esta Malibiche on July 31, 2016 News   Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amekutana na kufanya  mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Frannie...

Matukio mbalimbali yanayoendelea katika Hija ya Miaka 20 ya Radio Maria Tanzania ndani ya Mwaka wa Huruma ya Mungu.

Postedy by Esta Malibiche on July 30 .2016      ...

Serikali imetoa ujumbe huu kwa wasanii, wasiofata ya Nay Wa Mitego kuwakuta

Postedy by Esta Malibiche  on July 30, 2016 News Wasanii nchini wameaswa kuzingatia maaadili katika utengenezaji wa kazi zao ili kuenzi na kulinda mila, desturi na tamaduni za mtanzania . Wito huo umetolewa...

Alhamisi, 28 Julai 2016

Dk. Kigwangalla akutana na Wakuu wa Idara za Maendeleo ya Jamii, Watoto atoa maagizo

Postedy by Esta Malibiche on July 28, 2016 News   Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kigwangalla amekutana na Wakuu wa Idara...

MWALIMU WA SHULE YA MSINGI WILAYANI LUDEWA MATATANI KWA KUBAKA WANAFUNZI WAKE .......

Posted by Esta Malibiche on July 28 MWALIMU Abute Fungo (40 ) wa shule ya msingi Kimelembe kata ya Nkomang’ombe Ludewa mkoani Njombe pichani  atiwa mikononi mwa polisi Ludewa kwa tuhuma za kubaka na  kuwapiga picha sehemu za siri wanafunzi wake  zaidi wanne  na  kuwalipa kati ya Tsh 500  na  1000 “Mwalimu amenilazimisha kufanya nae mapenzi  zaidi ya...

Jumatano, 27 Julai 2016

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MWIGULU NCHEMBA ATUA KATIKA MGODI WA NYAMHUNA UNAODAIWA KUUA MTANZANIA

Postedy by Esta Malibiche on July 27.2016 in News with No comment   Picha na Festo Sanga 12.00 Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MWENYEKITI PAMOJA NA KATIBU WA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC) IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA

Postedy by Esta Malibiche on July 27, 2016 in JAMII with No comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Oliva Joseph Mhaiki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Winfrida Gaspa Rutaindurwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ikulu...

PSPF YAMKABIDHI KIASI CHA TSH.8 MILL. MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KONDOAKWA AJILI YA MADAWATI

Postedy by Esta Malibiche on July 27 .2016 in News with No comment Picha kutoka maktaba ya Mkurugenzi  Mkurugenzi wa  Halmashauri ya wilaya ya kondoa Mkoani Dodoma  Falessy Kibasa amepokea leo hii mchango wa Madawati  kiasi cha Mill.8 kutoka  shirika la Taifa la hifadhi ya jamii PSPF  ,pamoja na mashuka 200 kwa ajili ya hospitali ...

Kampuni ya TBL kuendelea kufanikisha utoaji elimu ya usalama katika jamii

Postedy by Esta Malibiche on July 27, 2016 in JAMII with No comments Afisa Mwandamizi kutoka Kitengo cha Elimu katika Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani , ASP. Mossi Ndozero akitoa Elimu ya usalama barabarani kwa baadhi ya walimu wa shule za Mkoa wa Mwanza yaliyofanyika katika Chuo cha Polisi Wanamaji jijini Mwanza yaliyoendeshwa na jeshi hilo chini ya udhamini wa kampuni ya TBL Group. SGT Bahati Nzunda...