Jumapili, 6 Novemba 2016

Profesa NDALICHAKO afunga Mkutano wa Uboreshaji Sekta ya Elimu Hapa Nchini

Posted by Esta Malibiche on Nov 6,2016 in NEWS

 Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako akihutubia alipokuwa akifunga mkutano wa wadau wakiwemo wabunge wa kuboresha sekta ya elimu nchini mjini Dodoma jana. Mkutano huo wa siku mbili uliandaliwa na Chuo Kikuu cha Aga Khan.

 Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Aga Khan, Profesa JoeLugalla akielezea mambo mbalimbali waliyokubaliana katika mkutano huo jinsi wadau wanavyotakiwa kusaidiana na serikali kuboresha elimu nchini.

 Washiriki wakisikiliza kwa makini wakati Profesa Ndalichako akifunga mkutano huo uliofanyika kwenye Hoteli ya Morena.

0 maoni:

Chapisha Maoni