Mwenge
wa Uhuru ukiwasili kwenye uwanja wa mpira wa Mchinga I,wilaya ya Lindi
vijijini ambapo ulizindua miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika
Majimbo mawili wa wilaya hiyo, jimbo la Mchinga na jimbo la Mtama.
Viongozi mbali mbali wakiwa wamesimama tayari kuupokea Mwenge wa Uhuru katika wilaya ya Lindi Vijijini
Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Bw. George Jackson kitaifa akizindua mradi wa maji...