Mtangazaji wa
Choice Fm cha Dar es Salaam, Jimmy Kabwe (katikati), akizungumza na
waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa hafla yakuingia
makubaliano kati ya Timu ya mpira wa miguu ya African Lyon inayoshiriki
ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League) na kituo cha radio cha
Choice FM 102.5, juu ya ushirikiano...