Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumanne, 31 Januari 2017

MANISPAA YA ILALA YAWATAKA WANANCHI KULIPA KODI YA MABANGO

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS Afisa Uhusiano wa Manisapaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akifafanua kwa waandishi wa Habari Leo Jijini Dar es salaam kuhusu mikakati ya manispaa hiyo katika kuwaletea wananchi maendeleo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Habari MAELEZO bi Zamaradi Kawawa. Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala Bi Tabu Shaibu akizungumza wakati wa mkutano wa waandaishi wa Habari Leo Jijini Dar es salaam kuhusu...

Azam FC Bocco, Kingue, Sure Boy ni Majeruhi

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN MICHEZO BAADA ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, kuanza rasmi mazoezi jana jioni kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Ndanda, daktari wa timu hiyo, Mwanandi Mwankemwa, amezungumzia hali za kiafya za baadhi ya wachezaji waliokuwa majeruhi. Wachezaji wa Azam FC waliokuwa majeruhi ni nahodha John Bocco ‘Adebayor’, Stephan Kingue waliopata...

Wanaotengeneza vyombo feki vya muziki, matangazo vya Candy wabainika

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN BURUDANI Mkurugenzi wa Kampuni ya Uhuru Music (T) Ltd, Maneno Sanga (kulia), akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Hualang Electric ambao ndio watengenezaji wa vyombo vya muziki vya Candy, Yang Hongwei wakati wa kusaini mkataba wa kibiashara wa kusambaza vyombo vya muziki na matangazo vya kampuni hiyo kwa nchi za tano za Afrika Mashariki. Baadhi ya vyombo vya muziki na matangazo vya Candy...

DKT. MWAKYEMBE AZINDUA RASMI OFISI ZA WIZARA YAKE MKOANI DODOMA

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akikata utepe kuzindua rasmi Makao Makuu ya Wizara yaliyopo katika jengo la Masomo ya Biashara na Sheria katika Chuo Kikuu cha Dodoma ambako Wizara imehamia rasmi makao maku ya Serikali mkoani Dodoma Katibu Mkuu Prof sifuni Mchome akitoa maelezo mafupi kwa Mhe. Waziri Dkt Mwakyembe mara baada ya kukata ...

Serikali Yatenga Bil. 13.9 Kujenga Nyumba 1,157 za Walimu

posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS Na: Lilian Lundo – MAELEZO – Dodoma Katika bajeti ya mwaka 2016/17, Serikali imetenga shilingi bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu 1,157 wa shule za msingi  nchini. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameyasema hayo leo, Mjini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mbunge Viti Maalum, Mhe. Juliana Daniel...

MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA NNE 2016

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS   Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 ambapo umefaulu wa jumla umeongezeka kwa 2.56% kutoka 67.53% mwaka 2015 hadi 70.09% mwaka 2016. Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dkt Charles Msonde amesema kati ya wanafunzi 408,372 waliofanya mtihani, jumla ya wanafunzi 277,283 wamefaulu, wakiwemo wasichana 135,859 sawa na asilimia 67.06...

AZAM MARINE YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA MKOANI TANGA, YASHUSHA MELI ITAKAYOKWENDA PEMBA NA UNGUJA KUTOKA MKOANI TANGA

Posted by Esta Malibiche on JAN31,2017 IN NEWS Meli Kubwa inayoweza kuingia abiria 1600, magari 50  na mizigo kwa pamoja ambayo itafanya safari zake kati ya Tanga-Unguja na Pemba ikiwa inaingia bandari ya Tanga leo wakati wa uzinduzi wake ambapo uwekezaji huo mkubwa umefanywa na kampuni ya Azam Marine ili kuwanusuru wananchi wa mkoa wa Tanga na changamoto za usafiri huo Meli Kubwa inayoweza kuingia abiria 1600 na magari...

RC SHIGELLA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA VIWANDA MKOANI TANGA,AVITAKA KUONGEZA UZALISHAJI

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye kiwanda cha kuzalishia chuma cha Mjini Tanga cha (Unique Steel Mill ) wakati wa ziara yake ya kukaagua maendeleo ya viwanda mbalimbali jijini hapa ili kuona namna ya ufanisi wake na changamoto zinazowakabili. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella wa pili kutoka kushoto akiteta...

SSRA NA TRA ZAKOMBA TUZO ZA UMOJA WA AFRIKA (AU)

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS Ofisa Habari wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Freddy Maro, akizungumza wakati akimkaribisha Msemaji wa Serikali kutoka Kitengo cha Mawasiliano cha wizara hiyo, Mindi Kasiga. Msemaji wa Serikali kutoka Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mindi Kasiga, akifurahia...