Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2017 IN NEWS
Afisa Uhusiano wa Manisapaa ya
Ilala Bi Tabu Shaibu akifafanua kwa waandishi wa Habari Leo Jijini Dar
es salaam kuhusu mikakati ya manispaa hiyo katika kuwaletea wananchi
maendeleo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Habari MAELEZO bi Zamaradi
Kawawa.
Afisa Uhusiano wa Manispaa ya
Ilala Bi Tabu Shaibu akizungumza wakati wa mkutano wa waandaishi wa
Habari Leo Jijini Dar es salaam kuhusu...