Posted by Esta Malibiche on Nov 30,2016 in NEWS
Sekta
ya kilimo nchini imekuwa mkombozi kwa ajira ya vijana kwa asilimia
81.18 ilikinganishwa na sekta nyingine ambapo idadi ya vijana kwa mujibu
wa Sensa ya Watu na Mkazi ya 2012 wapo vijana milioni 16.2 huku idadi
ya vijana wa kike wakiwa milioni 8.3 na wa kiume milioni 7.9
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo...