Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumatano, 30 Novemba 2016

Prof. Ole Gabriel: Sekta ya kilimo mkombozi ajira kwa vijana

Posted by Esta Malibiche on Nov 30,2016 in NEWS Sekta ya kilimo nchini imekuwa mkombozi kwa ajira ya vijana kwa asilimia 81.18 ilikinganishwa na sekta nyingine ambapo idadi ya vijana kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Mkazi ya 2012 wapo vijana milioni 16.2 huku idadi ya vijana wa kike wakiwa milioni 8.3 na wa kiume milioni 7.9  Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo...

KIWANGO CHA UFAULU MTIHANI WA DARASA LA SABA 2016 MKOA WA IRINGA CHAONGEZEKA NA KUFIKIA ASILIMIA 99.5

Posted by Esta Malibiche on Nov 30 ,2016 In NEWS Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Wamoja Ayubu akizungumza na wandishi wa Habari[Hawapo pichani]katika kikao cha kutangaza matokeo ya Mtihani wa darasa la saba mwaka 2016 kilichofanyika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Halmashauri ya wilaya ya Iringa,Mkoani Iringa. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

“SHULE ZA MSINGI 88 ZA HALMASHAURI YA BUHINGWE KIGOMA ZAMUENZI BABA WA TAIFA “

Posted by Esta Malibiche on Nov. 30,2016 in NEWS Matofali yaliyofyatuliwa na wanafunzi Mradi wa Elimu ya Kujitegemea yanatumika kujengea vyoo na madarasa pale penye upungufu wa vyumba vya madarasa na Vyoo (Picha na Bizei) Baadhi ya wanafunzi wakila chakula shuleni. Matofali yaliyofyatuliwa na wanafunzi Mradi wa Elimu ya Kujitegemea yanatumika kujengea vyoo na madarasa pale penye upungufu wa vyumba vya madarasa na Vyoo...

UFAULU DARASA LA SABA WAPANDA MKOA WA SINGIDA; ELFU KUMI NA NNE KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2017.

Posted by Esta Malibiche on NOV 30,2016 In NEWS Kiwango cha ufaulu wa mitihani ya kumaliza elimu ya msingi Mkoani Singida kimepanda kutoka wastani wa asilimia 58.41 mpaka asilimia 69.25 ikiwa ni ongezeko la asilimia 11 huku wanafunzi 14,759 wakichaguliwa kujiunga na masomo ya sekondari kwa kidato cha kwanza kwa mwaka 2017. Buhacha Baltazar Kichinda akiongoza kikao cha uteuzi wa wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2017 kama Kaimu...

MATUKIO KATIKA PICHA KILELE CHA MAONYESHO YA UTALII KITAIFA MKOANI IRINGA

Posted by Esta Malibiche on Nov 30,2016 In NEWS Wananchi  mjini  Iringa  wakitembelea banda la Iringa  Foods & Logistic Ltd watengenezaji wa pipi aina mbali mbali  pamoja na Snacks zenye  ubora  zaidi  jivunie bidhaa bora kutoka  Iringa  tembelea  maonyesho ya  utalii Tanzania katika  viwanja vya Kichangani mjini Iringa Chuo  Kikuu Huria  Cha  Tanzania ...

UN NA EU YAWANOA MABALOZI 50 WA MALENGO YA DUNIA IRINGA

  Posted by Esta Malibiche on Nov 30,2016 in NEWS   Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akimkabidhi Ripoti ya Umoja wa Mataifa ya mpango wa misaada ya maendeleo UNDAP II 2016-2021 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) Iringa, Dr. Cephas Mgimwa alipomtembelea ofisini kwake mjini Iringa. Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa...