
IDADI YA VIFO AJALI YA BASI IRINGA YAFIKIA 6 MAJERUHI 36,ASAS ATOA MSAADA WA DAWA KWA MAJERUHI WOTE
Majeruhi
wa ajali Bi Janeth Raia wa Rwanda akiwa na mtoto Ishine Jasmin
ambae pia Raia wa Rwanda aliyepoteza mamake mzazi katika ajali hiyo
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akimtuliza mmoja wa majeruhi baada ya kuondokewa na mama yake mzazi kwenye ajali
...