Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumanne, 29 Machi 2016

IDADI YA VIFO AJALI YA BASI IRINGA YAFIKIA 6 MAJERUHI 36,ASAS ATOA MSAADA WA DAWA KWA MAJERUHI WOTE

IDADI YA VIFO AJALI YA BASI IRINGA YAFIKIA 6 MAJERUHI 36,ASAS ATOA MSAADA WA DAWA KWA MAJERUHI WOTE Majeruhi  wa ajali   Bi Janeth Raia  wa Rwanda  akiwa na mtoto  Ishine Jasmin ambae  pia  Raia wa Rwanda aliyepoteza mamake  mzazi katika ajali  hiyo Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akimtuliza mmoja wa majeruhi baada ya kuondokewa na mama yake mzazi kwenye ajali ...

Jumatano, 23 Machi 2016

MWIGULU NCHEMBA KUHAMISHA UFUGAJI KUTOKA UFUGAJI HOLELA KWENDA UFUGAJI WA VITARU

MWIGULU NCHEMBA KUHAMISHA UFUGAJI KUTOKA UFUGAJI HOLELA KWENDA UFUGAJI WA VITARU  Picha/Maelezo na Festo Sanga   Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh:Mwigulu Nchemba akimuangalia mmoja wadume  la ng'ombe anayetumika kuzalisha Mitamba kwenye kitaru namba 9 shamba la kitengule-Karagwe.Baadhi ya ng'ombe waliopo kitaru namba 9 shamba la kitengule ambapo kwenye block hii moja kuna Ng'ombe zaidi ya 800 wanaolishwa na kuhudumiwa...

Taifa Stars vitani leo

Taifa Stars vitani leo Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Mkwasa TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, leo inashuka Uwanja wa Ommisports Idriss Mahamat Ouya jijini...

SHAMBULIO LA BRUSSELS WATU 31 WAPOTEZA MAISHA

SHAMBULIO LA BRUSSELS WATU 31 WAPOTEZA MAISHA Watu 31 wamefariki baada ya mashambulio kutekelezwa katika uwanja wa ndege wa Zaventem na kituo cha treni cha Maelbeek mjini Brussels. Waziri wa afya wa Ubelgiji amesema watu 11 walifariki na wengine 81 kujeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea uwanja wa ndege wa Zaventem, nje kidogo ya mji wa Brussels. Meya wa Brussels amesema watu 20 walifariki Maelbeek. Kundi linalojiita Islamic...

Musukuma:Tamasha la Pasaka lipige vita mauaji ya vikongwe, albino

Musukuma:Tamasha la Pasaka lipige vita mauaji ya vikongwe, albino ………………………………………. Na Mwandishi Wetu ………………………………………. MBUNGE  wa Geita vijijini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Joseph Kasheku Musukuma Amewahi kutamka bungeni kuwa vikongwe na watu wenye ulemavu wa ngozi wamekuwa wanauawa wanne kwa wiki kitu ambacho ni kibaya na sio cha kibinaadamu. Mbunge huyo alisema kuwa kutokana na kampuni ya Msama kutambua umuhimu...

UNFPA yakabidhi vifaa tiba vyuo na taasisi za afya nchini.

UNFPA yakabidhi vifaa tiba vyuo na taasisi za afya nchini. Mwakilishi wa Shirika la UNFPA nchini Natalia Kanem (aliyesimama) akitoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya kutumia simu kwa ajili ya kufundisha wakunga na wauguzi njia ya uzazi salama, waliokaa kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Mafunzo Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali) Dkt. Otilia Gowele, Msajili...

UVCCM WAPONGEZA USHINDI WA DKT.SHEIN

UVCCM WAPONGEZA USHINDI WA DKT.SHEIN. Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar ………………………………………. Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi  (UVCCM )umesema ushindi alioupata mgombea wa CCM Rais Dk Ali Mohamed Shein kwamba ni kielelezo cha kuimarika kwa msingi ya demokrasia Zanzibar na kukubalika kwa mgombea huyo kwa wapiga kura na wananchi wa Zanzibar . Umesema ushindi huo sasa umehitimisha mvutano na maneno yaliyokuwepo ambayo...

StarTimes yatoa msaada wa iPad kwa Wizara ya Habari

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mhe. Nape Nnauye ( katika) akisalimiana na Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Lu You Qing wakati alipowasili katika ofisi za Kampuni ya ving’amuzi ya StarTimes kwa ajili ya kupokea msaada wa iPad kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wa Maafisa Mawasiliano Serikalini, kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO Liofang. Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Lu You Qing (kushoto)...

SPIKA NDUGAI AFANYA MABADILIKO YA BAADHI YA WAJUMBE WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE.

Na Benedict Liwenga-Maelezo. ……………………………………………. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) amefanya mabadiliko ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge ili kuzingatia mahitaji mapya na changamoto zilizojitokeza baada ya kuunda Kamati hizo mwezi Januari 2016. Taarifa hiyo imetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Ofisi ya Bunge Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano ambapo imeelezwa kuwa, mabadiliko hayo,...

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete awasili Tunis, Tunisia

Rais Mstaafu wa awamu ya nne na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika katika Mgogoro wa Libya Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkaribisha Waziri wa Manghreb, nchi za Kiarabu na Afrika wa Aljeria Mheshimiwa Abdelkader Messaleh, aliyemtembelea hotelini kwake katika Jiji la Tunis, Nchini Tunisia. Rais Mstaafu wa awamu ya nne na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika katika Mgogoro wa...

JIJI LA DAR ES SALAAM LAPATA MEYA MPYA.

Aliyekuwa Mgombea wa nafasi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Yenga  Yusuph alipokuwa akiomba kura kwa wajumbe walioshiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Meya leo jijini Dar es salaam. Baadhi ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) walioshiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Meya wa Jiji leo Dar es Salaam (Kushoto) ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Iddy Azzan Zungu na kushoto ni...

Tigo yatoa msaada wa madawati 500 kwa shule za msingi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda akihutubia wananchi na wanafunzi katika makabadhiano wa msaada wa madawati 500 yenye thamani ya shilingi milioni 82.5 kwenye shule kumi za msingi katika mkoa wa Dar es Salaam Sherehe ya makabidhiano ilifanyika shule ya msingi Kawawa iliyopo Kigogo Luhanga. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda(kulia) na Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (wa pili kulia),wakiwa...

Mgamlagosi wa EWURA AMTEMBELEA SPIKA WA BUNGE

Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akizungumza na Wajumbe wa  Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakati Kamati hiyo ilipokutana na  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa. Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akifuatilia Mjadala kati ya  Wajumbe wa  Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa alipoitembelea kamati...