Alhamisi, 8 Desemba 2016

WAZIRI PROF.MBARAWA AZUNGUMZA NA BALOZI WA HISPANIA OFISINI KWAKE.

Posted by Esta Malibiche on Dec 8,2016 in NEWSuf1
Balozi wa Hispania nchini Tanzania Bw. Felix Costales (katikati), akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Balozi mdogo wa nchi hiyo jijini Nairobi, Bi. Rocio Kessier.
uf2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (kulia), akisisitiza jambo kwa Balozi wa Hispania nchini Tanzania Bw. Felix Costales, wakati alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Balozi mdogo wa nchi hiyo jijini Nairobi, Bi. Rocio Kessier.
uf3
Balozi mdogo wa nchi hiyo jijini Nairobi, Bi. Rocio Kessier (kushoto), akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa walipokutana ofisini kwake jijini Dar es salaam.

0 maoni:

Chapisha Maoni