Jumatano, 21 Desemba 2016

KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI KAGERA

Posted by Esta Malibiche on Dec 22,2016 in SIASA

 pod3

 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa  Ndg:Shaka Hamdu Shaka wa Tatu Kulia akigawa Vifaa Vya Ujenzi Vilivyo tolewa kwa Hisani ya  Kanisa la Anglican Dayosisi ya Kagera usharika wa Karagwe kwa Familia nane Maskini zilizo kubwa na Tetemeko.

po10
Kaimu Katibu Mkuu Shaka Hamdu Shaka akigawa kadi kwa Mmoja kati ya Wanachama  Wapya 173 Wilayani Kyerwa Mkoa wa Kagera
pod1
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akipokea Salaam za Shukrani Kwa niaba ya Rais  kwa mama MjaneAGRIPINA ANGERO ambaye alie jengewa Nyumba Mpya na Ya kisasa na Mhe : Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuri.
pod2
:Eneo la Nyumba ya Nyumba Mpya na Ya Mama MjaneAGRIPINA ANGERO  kisasa na Mhe: Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuri iliyopo katika Kijiji cha Kayanga Wilayani Karagwe.

pod4
Mkuu wa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe  Godfrey Ayub  Mheluka Mwenye Suti Nyeusi akiagana na kaimu katibu Mkuu Shaka Mara baada ya Kumfikisha Wilayani Kielwa
pod6
Ukaguzi  Wa Utekelezaji wa ilani  Wilayani Kielwa ulimfikisha Kaimu katibu mkuu uvccm taifa Ndg Shaka H Shaka  kuona pia ujenzi wa barabara ya Nkwenda-Mabira yenye urefu wa Km 31 iliyogharimu Tsh bil 2.
pod7
Kaimu Katibu Mkuu Shaka Hamdu Shaka akiambatana na Mkuu wa wilayaMeja Jenerali mstaafu Salum Kijuu  na Viongozi Mbali mbali wa Chama na Serikali  akikagua Ujenzi wa Nyumba ya Mkuu wa Wiliya iliyopo katika kijiji cha Rubwera Kagenyi Wilayani Kielwa.

0 maoni:

Chapisha Maoni