Jumatatu, 5 Desemba 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MTO WA MBU

Posted by Esta Malibiche on Dec5,2016 in NEWS

 san14Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Mto wa Mbu wilayani Monduli akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


san5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ameshika ngao na Mkuki alivypewa na  Mzee wa Mila wa kabila la Wamasai, Laibon Meshuko Ole Mapii (kulia) kabla ya kuwahutubia wananchi kwenye shule ya msingi ya Laibon iliyojengwa na Laibon  Ole mapii na kukabidhiwa kwa serikali. Alikuwa katika ziara ya wilaya ya Monduli Desemba 4, 2016. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa, Jumanne  Maghembe, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Arusha, Lekule Laiza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
san6
Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utlii, Profes Jumanne Maghembe baada ya kuwahutubia wananchi kwenye shule ya msingi ya Laibon wilayani Monduli  Desemba 4, 2016. Katikati ni Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
san7
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mzee wa mila wa Kabila la Wamasai, Laibon Meshuku Ole- Mapii  kabla ya kuzungumza na wananchi kwenye shule ya Misingi ya Laibon iliyojengwa na Ole- Mapii na kukabidhiwa kwa serikala. Alikuwa katika ziara ya wilaya ya Monduli Desemba 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
san8
Baadhi ya wananchi wa  Mto wa Mbu wilayani Monduli wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara wilayani humo Desemba 4, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
san9 san10 san11 san12
Baadhi ya wananchi wa  Mto wa Mbu wilayani Monduli wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara wilayani humo Desemba 4, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
san13
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kijiji cha Mto wa Mbu wilayani Monduli akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


san15
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wa Kimasai wakati alipowasili kwenye shule ya Msingi ya Laibon wilayani Monduli kuzungumza na wananchi akiwa katika ziara ya wilaya ya Monduli, Desemba 4, 2016. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 maoni:

Chapisha Maoni