Jumatatu, 12 Desemba 2016

MWENYEKITI WA CCM, RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, JANA JIJINI DAR ES SALAAM

Posted by Esta Malibiche on Dec 12,2016 in SIASA


 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kilichofanyika leo mjini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, na Kushoto ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein.

 Mweyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiwa tayari kuongoza kikao hicho

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk John Magufuli akiwa na baadhi ya viongozi kabla ya kikaokuanza. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Kushoto, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Dk Magufuli kufungua kikao

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Dk Magufuli kufungua kikao

 Mwenyekiti wa CCM, Dk John Magufuli akimsalimia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar, Dk Shein, alipowasili ukumbini

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Vuai Ali Vuai, akimsalimia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein walipokutana ukumbini kwenye kikao cha kamati kuu ya CCM kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. 

 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akimsalimia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Jerry Silaa, alipowasili ukumbini kwenye kikao cha kamati kuu ya CCM, kilichofanyika mjini Dar es Salaam, leo.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpokea Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Salimu Ahmed Salim alipowasili kwa ajili ya kushiriki kikao cha kamati kuu ya CCM, kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein alipowasili kwenye kikao cha Kamati kuu ya CCM, kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli, alipowasili kuendesha Kikao Cha Kamati cha Kamati Kuu ya CCM, leo mjini Dar es Salaam. PICHA: BASHIRI NKOROMO

0 maoni:

Chapisha Maoni