Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Ijumaa, 30 Desemba 2016

MBUNGE WA JIMBO LA KILOLO MWAMOTO ,ACHANGIA MILIONI 6 KUKARABATI SHULE

Posted by Esta Malibiche on Dec 30,2016 in NEWS Mbunge  wa  Kilolo Venance  Mwamoto (wa  pili kulia)  akitoka kukagua  shule  ya Msingi Mazombe  ambayo ni  shule  aliyosoma  aliyekuwa  mbungbe  wa  jimbo la  Kilolo Prof Peter Msola na kuahidi  kuikarabati  upya  shule   hiyo  kutokana na uchakavu iliyonao Hili ...

KILIO CHA MBUNGE RIDHIWANI CHASIKIKA, RC NDIKILO ATOA MWEZI MMOJA KWA WAFUGAJI

Posted by Esta Malibiche ob Dec30,2016 in NEWS wanakijiji cha Kitoga wakisikiliza  katika mkutano wa kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Kitoga kata ya Vigwaza Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Majid  Mwanga  akizungumza katika mkutano wa kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Kitoga kata ya Vigwaza Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Majid  Mwanga akizungumza kwa...

CCM KASULU YATOA ADHABU KWA MBUNGE NA MADIWANI WAKE KWA TUHUMA ZA KUCHOCHEA MGOGORO WA KUMPINGA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI WA KASULU

Posted by Esta Malibiche on Dec 30,2016 in SIASA Na Rhoda Ezekiel- Kigoma, KAMATI ya usalama na maadili na kamati ya siasa ya Wilaya ya Kasulu imetoa adhabu kwa Mbunge wa Viti maalumu wa Mkoa wa kigoma,Josephin Ngezabuke na madiwani sita wa Halmashauri ya mji wa Kasulu kwa tuhuma za kuchochea mgogoro wa madiwani kumpinga Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kasulu kwamba aondolewe hafai. Akizungumza na Waandishi wa Habari jana...

MGANGA WA TIBA ZA ASILI ATATUA CHANGAMOTO YA MAJI NJOMBE

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Posted by Esta Malibiche on Dec 30,2016 in NEWS ...