Jumatatu, 26 Februari 2018

MJUMBE WA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA SALIM ASAS AIKABIDHI UWT KILOLO MILION 5 KWA AJILI YA UJENZI WA UKUMBI

Posted by Esta Malibiche on februari 26,2018 in SIASA

Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa,ambae pia ni Mnec wa Mkoa wa wa IRINGA Salim Asas akimkabidhi Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Kilolo, kiasi cha shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa ukumbi wa UWT wilayani humo.

Mjumbe wa Halmashauri kuu ccm Taifa Saalim Asas,ambae pia ni Mnec wa Mkoa wa Iringa,akizungumza katika ofisi za ccm wilaya ya Kilolo .Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa ccm wilaya ya Kilolo akifuatiwa na Katibu wa ccm Wilaya ya Kilolo na kulia kwake ni Mwenyekiti wa Uwt wilaya ya Kilolo
Katibu wa uwt wilaya ya Kilolo,akipeana mkono kuashiria kumshukuru Mjumbe wa Halmashauri kuu ccm Taifa Saalim Asas,kwa mchango wake alioutoa kufanikisha zoezi la ujenzi wa ukumbi  wa UWT linakamilika.

0 maoni:

Chapisha Maoni