Jumatatu, 26 Februari 2018

SUGU NA MASONGA:-WAHUKUMIWA MIEZI 5 JELA KWA KOSA LA UCHOCHEZI

Posted by Esta Malibiche on februari 26,2018 in NEWS

index
Mhe Joseph Mbilinyi(SUGU), mbunge wa Mbeya Mjini na Ndg Emmanuel Masonga-Katibu wa kanda ya Nyasa Chadema WAMEHUKUMIWA KWENDA MIEZI 5 JELA kwa kosa la uchochezi.
Kwa madai kwamba ktk mkutano huo wa hadhara Mhe SUGU alisema ” Mhe Rais Magufuli hawezi kupendwa na watu kwa kumshoot risasi Lissu, kumtupa Jela miezi minne Lema, kumteka Ben saanane, kumteka Roma na kumzuia SUGU asiongee..!

0 maoni:

Chapisha Maoni