Jumatatu, 26 Februari 2018

MAVUNDE AANZA ZIARA MKOA WA MWANZA,ATEMBELEA OFISI YA CCM MKOA .

Posted by Esta Malibiche on Februari 26,2018 IN NEWS

Naibu waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM,Anthony Mavunde akisalimiana na Katibu wa  CCM Mkoa wa MwanzaRaymond Mangwala mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mh Anthony Mavunde ambaye yupo mkoa wa Mwanza kwa ziara ya kikazi ya kukagua Viwango vya Kazi na Usajili wa waajiri kwa mfuko wa fidia wa wafanyakazi(WCF).

Mapema leo hii ametembelea ofisi za CCM MKOA wa Mwanza kwa ajili ya kusalimiana na viongozi kuelezea kazi ambayo amekuja kuifanya mkoani hapo na kanda ya ziwa.




 Naibu waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM,Anthony Mavunde akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.





0 maoni:

Chapisha Maoni