Jumanne, 31 Oktoba 2017

MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA AZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI WA MAZINGIRA.

Posted by Esta Malibiche on Oct 31,2017 IN NEWS
Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akizindua kampeni ya kitaifa ya usafi wa Mazingira,iliyozinduliwa eneo la  mapema leo hii katika la Nduli MaNispaa ya Iringa,Mkoani Iringa.PICHA NA ESTA MALIBICHE.


Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza amewaagiza wakuu wa wilaya mkoani hapa kuhakikisha wanawahimiza wananchi ujenzi wa vyoo bora na utunzaji wa mazingira.

Agizo hilo amelitoa mapema leo hii wakati akikagua ujenzi wa choo katika shule ya Msingi Ndukli Mnispaa ya Iringa.

Aidha mkuu wa Mkoa amezindua kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira na kuwasisitiza wananchi wazingatie usafi katika mazingira yanayowazunguka ili kuepukana na magonjewa ya mlipuko.

''Ninaomba tuunge mkono kampeni hii ya kitaifa na kila mmoja atimize wajibu wake kuhakikisha anajenga choo bora na kutunza mazingira''
Meneja wa Kiwanja cha Ndege Iringa,Hana Kibopile akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya usafi wa Mazingira,uliofanyika mapema leo hii katika shule ya Msingi Nduli Manispaa ya Iringa.

Diwani wa kata ya Nduli kupitia chama cha Mapinduzi CCM,Bashiri Mtove,akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya usafi wa Mazingira,uliofanyika mapema leo hii katika shule ya Msingi Nduli Manispaa ya Iringa.


Mwandishi wa Habari Gazeti la MjiraMkoa wa Iringa,na mmiliki wa blog ya KALI YA HABARI,Esther Malibiche akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya usafi wa Mazingira ,uliofanyika katika shule ya Msingi Nduli Manispaa ya Iringa.
Mwandishi wa Habari wa Radio Nuru fm,Dajari Mdigange akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya usafi wa Mazingira ,uliofanyika katika shule ya Msingi Nduli Manispaa ya Iringa.


 Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Msenza,akikagua choo cha mkaziwa Nduli
 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza akitoa magizo kwa watendaji wa Afya Mnaspaa ya Iringa,kuhakikisha wanasimamia swala la ujenzi wa vyoo bora kwa kila nyumba.














 Choo kinachoendelea kujengwa  shule ya Msingi Nduli,kikiwa na matundu 5 kwa wanaume na matundu 6 wanawake
  Choo kinachoendelea kujengwa  shule ya Msingi Nduli,kikiwa na matundu 5 kwa wanaume na matundu 6 wanawake
 Choo kinachoendelea kujengwa  shule ya Msingi Nduli,kikiwa na matundu 5 kwa wanaume na matundu 6 wanawake
Matundu ya choo kipya kinachoendelea kujengwa kwa ajili ya matumizi ya wananfunzi katika Shule ya Msingi Nduli Manispaa ya Iringa.

 

  Choo kinatumika hivi sasa na wanafunzi wa shule ya Mdsingi Nduli wakati ujenzi wa choo bora unaendelea

 Choo kinatumika hivi sasa na wanafunzi wa shule ya Mdsingi Nduli wakati ujenzi wa choo bora unaendelea

 Choo kinatumika hivi sasa na wanafunzi wa shule ya Mdsingi Nduli wakati ujenzi wa choo bora unaendelea
  Choo kinatumika hivi sasa na wanafunzi wa shule ya Mdsingi Nduli wakati ujenzi wa choo bora unaendelea
 Choo kinatumika hivi sasa na wanafunzi wa shule ya Mdsingi Nduli wakati ujenzi wa choo bora unaendelea
 Mwanafunzi wa shule ya Msingi Nduli akiingia chooni,Choo ambacho  kinatumika hivi sasa wakati ujenzi wa choo bora unaendelea.
   Mwanafunzi wa shule ya Msingi Nduli akiingia chooni,Choo ambacho   kinachotumiwa hivi sasa wakati ujenzi wa choo bora unaendelea.







































0 maoni:

Chapisha Maoni