Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumanne, 31 Oktoba 2017

RITHA KABATI AENDELEZA MPANGO WAKE WA KUKARABATI SHULE ZA MSINGI ZILIZOPO MANISPAA YA IRINGA.

 Posted by Esta Malibiche on Oct 31,2017 IN NEWS  MBUNGE wa viti maalum Mkoa wa Iringa kupitia chama cha Mapinduzi CCM,Ritta Kabati akizungumza na kamati ya shule na wazazi hawapo pichani,kwenye kikao cha uchangiaji vifaa kwa ajili ya   ukarabati wa shule ya Msingi Igeleke iliyopo Mnispaa ya Iringa,ambayo inakabiliwa na uchakavu wa majengo.PICHA NA ESTA MALIBICHE. Na Esta Malibiche IRINGA MBUNGE wa Viti maalum mkoa wa...

MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA AZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI WA MAZINGIRA.

Posted by Esta Malibiche on Oct 31,2017 IN NEWS Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akizindua kampeni ya kitaifa ya usafi wa Mazingira,iliyozinduliwa eneo la  mapema leo hii katika la Nduli MaNispaa ya Iringa,Mkoani Iringa.PICHA NA ESTA MALIBICHE. Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza amewaagiza wakuu wa wilaya mkoani hapa kuhakikisha wanawahimiza wananchi ujenzi wa vyoo bora na utunzaji wa mazingira. Agizo hilo amelitoa mapema leo...

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFUNGUA VIWANDA VIWILI JIJINI MWANZA

Posted by Esta Malibiche on Oct 31,2017 IN NEWS Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi katika eneo la kona ya Butimba wakati akitokea Igogo jijini Mwanza. Wananchi wa Butimba na Mkuyuni wakifurahi wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza nao katika eneo la kona ya Butimba wakati akitokea Igogo jijini Mwanza. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri wa Viwanda na Biashara Charles...

Jumamosi, 28 Oktoba 2017

HAPPYBITHDAY MH.RAIS DKT.MAGUFULI

Posted by Esta Malibiche on Oct 29,2017. Uongozi wa blog hii ya KALI YA HABARI  inaungana na Watanzania wote kumtakia heri ya kuzaliwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania Dkt.John Pombe Joseph Magufuli.Tunamuombea Mungu amjalie Afya njema na maisha marefu ili azidi kulitumia Taifa la Tanzania.HAPPYBIRTH DAY MH.RAIS MAGUFULI...

MAGAZETINI JUMAPILI YA LEO OKTOBA 29/2017

Posted by Esta Malibiche on Oct 29,2017 IN KITAIFA ...