
Posted by Esta Malibiche on Oct 31,2017 IN NEWS
MBUNGE wa viti maalum Mkoa wa Iringa kupitia chama cha Mapinduzi CCM,Ritta Kabati akizungumza na kamati ya shule na wazazi hawapo pichani,kwenye kikao cha uchangiaji vifaa kwa ajili ya ukarabati wa shule ya Msingi Igeleke iliyopo Mnispaa ya Iringa,ambayo inakabiliwa na uchakavu wa majengo.PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Na Esta Malibiche
IRINGA
MBUNGE wa Viti maalum mkoa wa...