Jumatatu, 26 Februari 2018

PITIA VICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO

Posted by Esta Malibiche ON Februari 27,2018 IN KITAIFA ...

MJUMBE WA BARAZA KUU TAIFA UVCCM GWANTWA MWAKIJUNGU AKABIDHI BATI 30 KATA YA KIJICHI

Posted by Esta Malibiche on Februari 26,2018 IN SIASA  Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa UVCCM,Mkoa wa -Dar es salaam Gwantwa Alex Mwakijungu amekabidhi bati 30 katika kata ya Kijichi kwa ajiri ya uezekaji wa ofisi ya serikali ya mtaa wa Mission iliyopo Kijichi. Akizungumza wakati wa kukabidhi alisema kuwa lengo la kutoa mchango huo ni kutaka kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM. Aidha aliwashuruku...

MAVUNDE AAGIZA WAAJIRI MWANZA KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUSHINDWA KUJISAJILI MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI-WCF

Posted by Esta Malibiche on Februari 26,2018 IN NEWS Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira Mh Anthony Mavunde ameagiza Wakurugenzi wa Kampuni ya  Ujenzi ya *JASCO LTD,AIRCO na JB BELLMONT HOTEL* kufikishwa Mahakamani kwa kushindwa kujisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi(WCF). Mavunde ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake katika mkoa wa Mwanza kukagua Viwango vya Kazi na kufuatilia utekelezaji wa Agizo la...

MAVUNDE AANZA ZIARA MKOA WA MWANZA,ATEMBELEA OFISI YA CCM MKOA .

Posted by Esta Malibiche on Februari 26,2018 IN NEWS Naibu waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu,na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM,Anthony Mavunde akisalimiana na Katibu wa  CCM Mkoa wa MwanzaRaymond Mangwala mara baada ya kuwasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza. Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mh Anthony Mavunde ambaye yupo mkoa wa Mwanza kwa ziara ya kikazi ya kukagua Viwango vya Kazi na Usajili...

KILIMO, VIWANDA VYAINUA PATO LA MKOA WA IRINGA

Posted by Esta Malibiche on Februari 26,2018 in NEWS Mkuu wa Mkoa wa Iringa,Amina Masenza akizungumza na Wandishi wa Habari[hawapo pichani]kulia kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Wamoja Ayubu. MKUU wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza amesema kuwa Sekta ya kilimo na viwanda inaendelea kwa kasi Mkoani hapa,huku ikichangia kuongezeka kwa pato la Mkoa kutoka Sh trilioni 2.3 mwaka 2010 hadi  kufikia Sh trilioni 5.10...

MJUMBE WA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA SALIM ASAS AIKABIDHI UWT KILOLO MILION 5 KWA AJILI YA UJENZI WA UKUMBI

Posted by Esta Malibiche on februari 26,2018 in SIASA Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa,ambae pia ni Mnec wa Mkoa wa wa IRINGA Salim Asas akimkabidhi Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Kilolo, kiasi cha shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa ukumbi wa UWT wilayani humo. Mjumbe wa Halmashauri kuu ccm Taifa Saalim Asas,ambae pia ni Mnec wa Mkoa wa Iringa,akizungumza katika ofisi za ccm wilaya ya Kilolo .Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa...

WAHAMIAJI HARAMU 83 WAKAMATWA IRINGA WAKIWA HOI

Posted by Esta Malibiche on Fbruari 26,2018  Wahamiaji  haramu waliokamatwa Iringa WAHAMIAJI haramu 83 wamekamatwa na idara ya Uhamiaji kwa kushirikiana na jeshi la polisi mkoa wa Iringa jana huku baadhi yao wakiwa katika hali mbaya baada ya kukosa chakula siku tatu.Akizungumza mara baada ya kuwafikisha katika kituo cha Polisi mkoa wa Iringa, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhamiaji  Mkoa wa Iringa, Hope Kawawa ,alisema wahamiaji...

WAKULIMA WATAKIWA KUACHA KULIMA KILIMO KWA MAZOEA

Posted by Esta Malibiche on februari 26.2018 in News Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza (watatu kushoto) akishangaa gari la Benki la NMB lenye ATM ikiwa na Benki ndani yake huku Huduma za kibenki zikiendelea katika stendi ya mabasi yaendao mikoani mjini IRINGA baada ya kuzindua tawi jipya la NMB Ruaha Ijumaa wiki iliyopita. (Picha na Friday Simbaya) IRINGA:  Wakulima mkoani Iringa wametakiwa kuzitumia taasisi za kifedha...

WATOTO 6 WAWASHIWA VIFAA VYA USIKIVU (COCHLEAR IMPLANT)

Posted by Esta Malibiche on februari 26,2018 Mtaalam wa Huduma ya Usikivu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Mathayo Majogoro Alfred (katikati) akiunganisha kifaa cha usikivu cha nje na cha ndani ili mtoto Matilda Katobesi aweze kusikia kwa mara ya kwanza. Kulia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Pua, Koo na Masikio, Dkt. Edwin Liyombo akifuatilia na kushoto ni mama wa mtoto huyo, Angelina Cosmas. Mtoto Matilda kwa mara ya kwanza...

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI NACHINGWEA ASUBUHI YA LEO

Posted by Esta Malibiche on februari 26,2018 in News  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi mara baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege  wa Nachingwea kuanza ziara ya kazi mkoani Mtwara Februari 26, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu...

SUGU NA MASONGA:-WAHUKUMIWA MIEZI 5 JELA KWA KOSA LA UCHOCHEZI

Posted by Esta Malibiche on februari 26,2018 in NEWS Mhe Joseph Mbilinyi(SUGU), mbunge wa Mbeya Mjini na Ndg Emmanuel Masonga-Katibu wa kanda ya Nyasa Chadema WAMEHUKUMIWA KWENDA MIEZI 5 JELA kwa kosa la uchochezi. Kwa madai kwamba ktk mkutano huo wa hadhara Mhe SUGU alisema ” Mhe Rais Magufuli hawezi kupendwa na watu kwa kumshoot risasi Lissu, kumtupa Jela miezi minne Lema, kumteka Ben saanane, kumteka Roma na kumzuia SUGU asiong...