Ijumaa, 30 Juni 2017

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 57 MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO JUNI 30, 2017.

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN SIASA Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni 30, 2017. Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai  akiongoza    kikao cha hamsini na saba cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni...

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA UMOJA WA WANAMICHEZO WA MPIRA WA MIGUU KUTOKA FC GRACE UNITED STATES LEO OFISINI KWAKE MJINI DODOMA.

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN MICHEZO,  Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akizungumza pale ugeni kutoka Umoja wa Wanamichezo wa Mpira wa Miguu kutoka FC GRACE UNITED STATES ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. wa pili kulia ni Mwenyeji na kiongozi wa Msafara Bishop Oscar John. Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akimsikiliza Mheshimiwa William Ngeleja...

Viongozi wa Dini Wabebeshwa mzigo, Utunzaji wa Mazingira.

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30.2017   Askofu Michael Msonganzila wa Jimbo katoliki Musoma Mkoani Mara akiongea na Waandishi wa habari nje ya Mkutano huo kuelezea umuhimu wa mazingira. Mkuu wa mkoa wa Mara Dkt. Charles Mlingwa, akifungua kikao hicho, pembeni kulia ni Mratibu wa LVEMP Bw. Omari Myanza. Baadhi ya Viongozi wa dini kutoka mkoa wa kagera wakiwa katika Warsha hiyo. Baba Askofu...

JNIA TBIII Kuanza Kutumika Dec 2018-Mhe. Mbarawa

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN NEWS Prof. Ninatubu Lema, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, (aliyenyoosha mikono) akimweleza jambo Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa  (wa tatu kutoka kulia), leo wakati akianza ziara ya kutembelea jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA_TBIII). Meneja ...

WAHALIFU WANNE WAUWAWA KATIKA MAPAMBANO NA POLISI KIBITI

Posted by Esta MALIBICHE ON june 30,2017 in NEWS MKUU WA OPERESHENI ZA POLISI, NAIBU KAMISHNA DCP LIBERATUS SABAS, AKIONYESHA BUNDUKI AINA YA SMG ZILIZOPATIKANA JUZI USIKU WAKATI WA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI  BAINA YA WAHALIFU NA POLISI KATIKA KIJIJI CHA PAGAE WILAYANI KIBITI MKOANI PWANI. BUNDUKI 2 AINA YA SMG ZILIPATIKANA PAMOJA NA MAGAZINI 2 NA RISASI 17. PICHA NA HASSAN MNDEME-JESHI LA POLISI. …………………….. Na...

JUMUIYA YA WAZAZI Z’BAR YASISITIZA UADILIFU KWA WATENDAJI WAKE.

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN SIASA Naibu Katibu Mkuu wa  Jumuiya ya Wazazi CCM Zanzibar, Nagma Giga akizungumza na Watendaji na viongozi wa jumuiya hiyo wa ngazi za Mikoa na Wilaya mara baada ya kuwakabidhi komputa. Naibu Katibu Mkuu wa  Jumuiya ya Wazazi CCM Zanzibar, Nagma Giga akimkabidhi komputa Katibu wa Wazazi Mkoa wa Kaskazini Bi.Zaituni Bushiri Ussi. Baadhi ya Komputa zilizokabidhiwa...

SPIKA WA BUNGE NDUGAI AKIFATILIA KWA UMAKINI MISWADA YA MALIASILI

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN NEWS. Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Pamoja iliyokuwa ikijadili miswada miwili ya sheria  kuhusiana na usimamizi wa maliasili za Nchi.kikao hicho kilifanyika Mjini Dodoma jana Katika Ukumbi wa Msekwa. Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akifuatilia mjadala katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Pamoja...

WAZIRI UMMY APOKEA TAARIFA YA WATOTO MAPACHA.

Poted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN NEWS Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu wakijadili kwa umakini na katibu mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Mpoki Ulisubisya wakati wakiongea na waandishi wa habari(Hawapo kwenye picha) juu ya taarifa ya kuibiwa kwa mtoto mmoja wa Bi. Hasma Juma katika hospitali ya Temeke jijini Dar Es salaam. Mganga Mkuu wa Serikali Prof. BaKari Kambi akitoa ufafanuzi mbele...

SERA YA MAENDELEO YA MICHEZO YA MWAKA 1995 YAFANYIWA MAREKEBISHO KUENDANA NA MAHITAJI YA SASA.

Posted by Esta MALIBICHE ON june 30,2017 IN MICHEZO Na Daudi Manongi,MAELEZO,DODOMA. Serikali kupitia Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo imesema kuwa inakamilisha mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Michezo ya mwaka 1995 ili kuhakikisha inaendana na mahitaji ya sasa katika maendeleo ya michezo nchini. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura wakati akijibu swali...

MAEGESHO YA KIVUKO LINDI KUKAMILIKA MWEZI NOVEMBA MWAKA HUU

Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN NEWS Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS). Mkoa wa Lindi,Eng. Issack Mwanawima (mwenye koti la draft), akimweleza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kushoto), hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa maegesho hayo, Mkoani humo, wakati Waziri huyo alipotembelea mradi huo hivi karibuni. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame...