Posted by Esta Malibiche on JUNE 30,2017 IN SIASA
Waziri wa Mambo ya Ndani
Mhe.Mwigulu Nchemba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao
cha hamsini na nne cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Juni 30, 2017.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza kikao cha hamsini na
saba cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Juni...