Jumamosi, 7 Aprili 2018

MAVUNDE AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUHAKIKISHA ZINATENGA FEDHA KWA AJILI YA VIJANA NA AKINA MAMA.

Posted by EstayMalibiche on April 7,2018 IN NEWS

  NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde,akizungumza na vijana wa Mkoa wa Iringa wakati wa kufunga Mafunzo ya ujasiliamali,ambapo zaidi ya vijana elfu moja [1000]wametunukiwa vyeti vya kuhitimu mafunzo hayo.


NA ESTA MALIBICHE
IRINGA
  NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde amezitaka Halmashauri Nchini kuhakikisha  wanatenga fedha za mapato yao ya ndani kwa ajili ya akina mama na vijana.
Agizo hilo amelitoa mapema leo hii Mkoani Iringa wakati wa kufunga Mafunzo ya wajasiliamali yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Vijana CCM Mkoa wa Iringa,ambapo zaidi ya wahitimu elfu moja wametunukiwa vyeti.
 Mavunde alisema kuwa ni haki ya kila kijana kupata mikopo inayotolewa na Serikali  bila kujali itikadi  za vyama vyao.
‘Tunataka mikopo iwafikie vijana ili wawaeze kujishugulisha.Pia ninawaomba wakurugenzi mtenge maeneo maalum ili vijana wawaeze kufanya shughuli zao za ujasililiamali na wale wote wqenye dhamana ya vijana  nawaomba washuke chini kutatua kero zao  ikiwa mipamoja na kuwapa Elimu namna ya kujikwamua kiuchumi’Alisema Mavunde’
Aidha aliwataka wenyeviti wa Uvccma Nchini kuhakikisha wanawasaidia vijana kujikwamua kiuchumi kwa kuwapa Elimu ya ujasiliamali ili kupunguza wimbi kubwa la vijana wasio na ajira.Pia aliipongeza kampuni ya Asas group kwa kufadhiri mafunzo hayo pamoja na Kampuni ya Ivory na Jeshi la Magereza ambao walijitoa kuhakikisha mafunzo hayo yanafanyika kwa kutoa michango yao mbalimbali.
Awali akisoma Risala ya  Umoja wa Vijana  ccm Mkoa wa Iringa kwa Naibu Waziri ,Shaibath Kapingu ambae ni Katibu Seneti vyuo vikuu Uvccm Mkoa wa Iringa alisema kuwa Uvccm Mkoa wa Iringa  wamedhamulia kuhakikisha vijana wanapata nafasi na fursa katika kujenga uchumi wa Taifa na kuwa mfano bora baada ya mafunzo.
Kapingu alisema kuwa  asilimia tano ya vijana imekuwa ni changamoto kubwa katika Halmashauri  hii inatokjana na vijana kuto kutokuwa na uelewa wa kutosha juu ya u[patikanani wa asilimia tano ambazo zinatengwa na Serikali kwa ajili ya kuwasaidia kujikwamua kiuchumi.

‘Sisi vijana wa Iringa tunapenda  kumpongeza Mh.Rais wa awamu ya tano chini y uongozi wake Rais Magufuli paojana  waziri Mkuu Kasimu Majaliwa,tunathamini sana kazi wanazozifanya na ,tunaona na tunatumaini kubwa sana na utendaji wao mzuri wenye kuleta matumaini makubwa kwa vijana wa Tanzania  katika kuwainua kiuchumi,Kisiasa na kijamii.Alisema Kapingu.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa uvccm Mkoa wa Iringa Kenani Kihongosi aliwataka wajasiliamali kwenda kuifanyia kazi Elimu ya ujasiliamali waliyoipata ili wawaeze kujikwamua kiuchumi.Pia aliwataka kubuni miradi itakayowasaidia kujiimarisha kiuchumi.
Kihongosi alisema Uvccm itaendelea kuwapa Elimu  ya ujasiliamali Vijana wa Mkoa wa Iringa ili awaweze kuachana na hali ya kukaa vijiweni na kupiga soga huku wakiiilaumu Serikali kila kukicha na kudai kuwa haitoi ajira.
Nae Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa  kuvikopesha mikopo vikundi vya vijana vilivyosajiliwa kwa kufuatas utaratibu.
Aliitaka Serikali kutafuta wafadhiri ikiwa ni pamaoja na kuwaopeleka wajasalimalia nje ya Nchi kwenda kujifunza zaidi ili waweze kutengeneza bidhaa zenye tija kwa m,anufaa ya Taifa.

 
  NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde,akipokelewa na viongozi wa Uvccm Hallfea mara bada ya kuwasili katika viwanja vya Hallfea Mkoani Iringa.
 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde,akikaribishwa na Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Irina Kenanai Kihongosi na Katibu wa Uvccm Iringa Mjini  mara bada ya kuwasili katika viwanja vya Hallfea Mkoani Iringa
  NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisalimiana na Mjumbe wa baraza kuu uvccm Taifa kupitia Mkoa wa Iringa Bi.Jameela Abdalah.
  NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisalimiana na Katibu wa Seneti vyuo na vyuo vikuu uvcm Mkoa wa Iringa Shaibath Kapingu.



 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisalimiana na Katibuwa Jumuiya ya UWT Mkoa wa Iringa Chiku Masanja.



 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisalimiana na Katibu wa Jumuiya ya wazazi Iringa Mjini BI.Ashura Jongo.
 
 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisalimiana nawajasiliamali.
NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisalimiana nawajasiliamali.
NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akikagua mabanda ya wajasiliamali.

 


NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akikagua mabanda ya wajasiliamali.

 

NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akikagua mabanda ya wajasiliamali.




NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.



NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.


 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.
 

 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.
 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.
 
 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.

NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiendelea kukagua mabanda ya wajasiliamali.

NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akisaini kitabu cha wageni.



NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akiwahutubia vijana[hawapo pichani]
 Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela akizungumza.
 
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha Mpainduzi ccm Ritha Kabati akizungumza

Mmoja wa wakurungezi wa kampuni ya Asas Group akizungumza .

Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Iringa Kenanai Kihongosi akizungumza.

Katibu wa Chama cha Mapinduziu CCM iringa Mjini Marco Mbaga akizungumza.

 Katibu Seneti vyuo vikuu Uvccm Mkoa wa Iringa Shaibath Kapingu akisoma Risala ya uvccm  kwa Naibuwaziri.

Vijana walioshiriki wa Mafunzo ya ujasiliamali 
Vijana Waliohiriki wa Mafunzo ya ujasiliamali.

 NAIBU Waziri ofisi ya Waziri Mkuu  kazi Vijana ajira na walemavu Antony Mavunde akimkabidhi cheti mshiriki wa Mmavunzo ya ujasiliamali.
Mjumbe wa baraza kuu uvccm Taifa kupitia Mkoa wa Iringa Bi.Jameela Abdalah,akimkabidhi Naibu Waziri zawadi ya Moja bidhaa zilizotengenezwa na  wajasailiamali.






















































0 maoni:

Chapisha Maoni