Jumapili, 29 Aprili 2018

RAIS MAGUFULI AAHIDI KUIGEUZA IRINGA KUWA MKOA WA KITALII

Posted by Esta Malibiche ON April 30,2018 IN NEWS Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli akiwahutubia wananchi wa Mkoa wa Iringa jana mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Ndolela Halmashauri ya Iringa Vijijini. Na Esta Malibiche Iringa RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli ameahidi kuugeza Mkoa wa Iringa kiutalii kwa kutengeneza Uwanja wa Ndegebwa Nduli uliopo Mkoani hapa ili watalii waweze kuingia...