
Poated by Esta Malibiche on DEC 30. 2017 IN NEWS
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi Mh.Rukia Muwango akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ruponda mapema leo hii katika zoezi la usafi wa Mazingira
MKUU wa Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi Rukia Muwango amewataka wananchi kuwa makini na matumizi ya fedha za korosho ili ziweze kuwasaidia katika kuboresha maisha yao pamoja na kusomesha watoto.
Kauli hiyo ameitoa mapema leo hii...