Ijumaa, 1 Desemba 2017

SALAM MBALIMBALI ZA SIKUKUU YA MAULID

Posted by Esta Malibiche on DEC.1,2017 IN NEWS

Naitwa Esta Malibiche,ambae ni mmiliki wa blog hii ya KALI YA HABARI,ninaungana na watanazania wote,kuwatakia heri  waislam wote katika kusherekea  sikukuu ya Maulid Al-Nabi Tusherekee kwa Amani na Utulivu huku tukiwakumbuka wahitaji,upendo utawale katika famili na Taifa kwa ujumla.Pia tuiombee Amani nchi yetu ya Tanzania na tuwaombee viongozi wetu wa vyama na Serikali.Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania.AHSANTENI



 


 

0 maoni:

Chapisha Maoni