Jumatatu, 27 Machi 2017

PPF YAKABIDHI VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA LONGIDO

Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS

TPP
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu),
Mhe. Jenista Mhagama,(watatu kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho
Gambo,(wanne kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. William
Erio, (watano kushoto), Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI (anayeshughulikia Afya),
Dkt. Zainabu Chaula,(kulia), Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mhe. Daniel Chongolo,
(wapili kushoto), na viongozi wengine, wakiangalia kitanda cha kujifungulia
wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa tiba vilivyotolewa na PPF.
 Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu),
Mhe. Jenista Mhagama,(watatu kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa PPF, Bw. William
Erio, (wapili kushoto), Viongozi wa Mkoa wa Arusha na Wilaya ya Longido,
wakitembelea wodi ya wagonjwa ya Kituo cha Afya Longido, ambapo ni moja kati ya
vituo vilivyonufaika na msaada huo wa vifaa tiba kama sehemu ya mchango  wa PPF kwenye Jamii.
.

0 maoni:

Chapisha Maoni