Alhamisi, 2 Machi 2017

MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA AZINDUA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI

Posted by Esta Malibiche on MARCH 2,2017 IN NEWS
 Katika kuelekea maadhimisho ya  siku ya wanawake Duniani,Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza,leo hii amezindua jukwaa la uwezeshaji wanawake mkoa wa IRINGA.Akizindua jukwaa hilo mkuu wa mkoa amewasihi wanawake kuitumia vizuri mikopo wanayoichukua katika Taasisi cha fedha wahakikishe inatumika katika lengo mahususi na si vinginevyo ili waweze kurejesha bila tatizo lolote.

 Meneja wa Bank ya posta mkoa wa Iringa Athony Kayanda akitoa Taarifa.
Meneja wa SIDO Mkoa wa Iringa Neserian Laiza akiwasilisha Taarifa



 Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Mapinduzi ccm Mkoa wa Iringa Ritha Kabati akizungumza katika uzinduzi wa jukwaa la wanawake,lililofa leo hii katika ukumbi wa siasa ni kilimo Iringa    Afisa Elimu na huduma kwa walipa kodi TRA Kefa Mwambene akitoa Taarifa juu ya ulipaji kodi

Wajumbe  wa jukwaa  la wanawake wakiwa katika  uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa siasa ni kilimo Iringa
Wajumbe   wa jukwaa la wanawake wakiwa katika  uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa siasa ni kilimo Iringa

 Wajumbe  wa jukwaa  la wanawake wakiwa katika  uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa siasa ni kilimo Iringa
Mstahiki meya wa Manispaa ya  Iringa Alex Kimbe wa pili  kulia  akiwa katika  uzinduzi wa  jukwaa la  wanawake kiuchumi



 
 Wajumbe  wa jukwaa  la wanawake wakiwa katika  uzinduziuliofanyika katika ukumbi wa siasa ni kilimo Iringa


















0 maoni:

Chapisha Maoni