Jumatatu, 27 Machi 2017

BALOZI WA MOROCCO NCHINI TANZANIA AKUTANA NA WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MASUALA YA ARDHI

Posted bu Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS

ORO
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi akiwa na Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane wakati alipo mtembelea ofisini kwake.
ORO 1
Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane akimueleza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi jinsi Nchi yake ilivyofanikiwa katika kukabiliana na makazi holela kwa kiasi kikubwa.

0 maoni:

Chapisha Maoni