Alhamisi, 9 Novemba 2017

WCS LIMEWAPIGA MSASA JUMUIYA YA HIFADHI YA WANYAMAPORI WAGA

Posted by Esta Malibiche on Nov.9,2017 in news

 Mkuu wa wilaya ya Mufindi Jamhuri William aliwakata wanajumuiya ya hifadhi ya wanyamapori WAGA kuzitunza rasilimali za wanyama pori kwa faida ya sasa na vizazi vijavyo kama wao walivyotunziwa na wananchi waliokuwepo miaka ya huko nyuma 
Mratibu wa shughuli za uhifadhi kwa jamii katika shirika lisilo la kiserikali (WCS) Anna Kimambo alisema lengo la shirika hilo ni kuhakikisha jamii zinasimamia vilivyo rasilimali za wanyama pori,misiti na vyanzo vya maji ili baadae weweze kuona faida ya vitu wanavyo vitunza.

0 maoni:

Chapisha Maoni