Jumatatu, 27 Machi 2017

KIWANDA CHA SARUJI MOSHI CHAFUNGWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA

Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Rombo Bi. Agness Hokororo mara baada ya kuwasili wilayani hapo kwa ziara ya kikazi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba alipotembelea kiwanda cha saruji cha Moshi. Kiwanda hicho kimefungiwa baada ya...

PROF. MBARAWA: NEEMA YAJA WAFANYABIASHARA KANDA YA ZIWA

Posted by Esta Malibiche ON MARCH 27,2017 IN NEWS Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (katikati), akielekea kukagua Bandari ya Kemondo mkoani Kagera ili kujionea utendaji kazi wake.  Kulia ni Meneja wa Bandari Kanda ya Ziwa, Bw. Abel Moyo. Meneja wa Bandari Kanda ya Ziwa, Bw. Abel Moyo, akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Wa pili...

BALOZI WA MOROCCO NCHINI TANZANIA AKUTANA NA WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MASUALA YA ARDHI

Posted bu Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi akiwa na Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane wakati alipo mtembelea ofisini kwake. Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane akimueleza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi jinsi Nchi yake ilivyofanikiwa...

KAMATI YA BUNGE YA HESABU NA SERIKALI ZA MITAA[ LAAC ]YATOA AGIZO KWA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS ...

WAHUDUMA 80 KATIKA SEKTA YA UTALII WAPATA MAFUNZO IRINGA

Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

HAMLASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA YAWAKABIDHI VIJANA NA WANAWAKE HUNDI YENYE THAMANI YA MILL.70,000,000

Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa imetoa mkopo kwa vikundi 35 vya wanawake na vijana ikiwa ni utekeleza wa agizo la serikali la kutenga asilimia kumi (10%) ya mapato ya ndani kwa ajili ya kutoa mikopo kwa vijana na wanawake. Akikabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 70,000,000/- kwa vikundi hivyo katika awamu ya pili ya kipindi cha mwaka 2016/2017, Mstahiki Meya wa...

PPF YAKABIDHI VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA LONGIDO

Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu), Mhe. Jenista Mhagama,(watatu kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo,(wanne kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. William Erio, (watano kushoto), Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI (anayeshughulikia Afya), Dkt. Zainabu Chaula,(kulia), Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mhe....