Posted by Esta Malibiche on MARCH 27,2017 IN NEWS
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akisalimiana na Mkuu wa
Wilaya ya Rombo Bi. Agness Hokororo mara baada ya kuwasili wilayani hapo
kwa ziara ya kikazi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba alipotembelea kiwanda cha
saruji cha Moshi. Kiwanda hicho kimefungiwa baada ya...