
Posted by Esta Malibiche on NOV30,2017 IN NEWS
Na Esta Malibiche
Mufindi
Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na wadau wa
maendeleo na wawekezaji wanatarajia kuanza kutekeleza sera ya uchumi wa viwanda
kwa kuanzisha viwanda mbalimbali ndani ya Mkoa wa Iringa,hivyo kutekeleza agizo
la serikali.
Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa
Iringa Amina Masenza wakati wa ufunguzi wa sehemu ya upanuzi wa kiwanda
cha Chai cha Unilever kilichopo...