Jumatatu, 13 Februari 2017

WAJASIRIAMALI WA GO BIG KUANZISHA KIJIJI CHA MAENDELEO

Posted by Esta Malibiche on FEB 13,2017 IN NEWS

LUKA
Wajasiriamaliwaundaomtandaowamaendeleowa GO BIG yaani “GO BIG DEVELOPMENT NETWORK” wanatarajiakukusanyazaidiyakiasi cha shilingimilionimiambilinahamsini (250) ilikuanzishakijiji cha mfano. Kijijihichokinatarajiwakuanzishwamwishonimwamwakahuunakitahusishashughulimbalimbalizawajasiriamalihao.
LUKA 1
Mgenirasmi, Bw.Davidkutokashirika la nyumba la taifa (NHC) kamaMkurugenziwakitengo cha uwekezajiakiwahamasishawajasiriamaliwa GO BIG. Kulianimleziwawajasiriamalihao, Bw.AndrewMhinanaKushotoniBi.NancyMsangi, makamumwenyekitiwaumojahuo
LUKA 2
“Ni lazimatuwevijanawamfano, tuwewajasiriamaliwamfanosiokwamanenobalikwavitendonatuwekeniasasayakuanzishakijijihikikitakachotusaidiasisinakuinuauchumiwanchiyetu.”,alisema Bwana MeshackMagangaambayenimmojawawaanzilishiwaumojahuowawajasiriamaliwa GO BIG.
LUKA 3
Waanzilishiwaumojawa GO BIG, Bwana MeshackMagangaakiwana Bwana Mwimba Philemon ambayepianimwekahazinawaumojahuo (PichanaNaamala Samson)
AkichangiakatikasherehezakutimizamwakammojawaumojahuozilizofanyikaVikindunjekidogoyajiji la Dar Es Salaam mnamomwanzonimwamwakahuu, mmojawawalezi, Bwana Andrew Mhinaaliwaambiawajasiriamalihao, “nduguzangu, wakatinihuuambapotukianzishakijiji cha mfano cha ‘GO BIG VILLAGE’, watututawezakulimahumo, kufuga, kuzalishabidhaakwawinginakwauborakukidhisiotusoko la ndanibalina la nje”. Aliongezeakwakusemakuwawatatumiakijijihichokuongezaajiranakujengataifa la watukuwawabunifuzaidi.

0 maoni:

Chapisha Maoni