Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumatano, 31 Januari 2018

ROTARY CLUB OF IRINGA YAPANDA MITI 134 YA MATUNDA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA IRINGA

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2018 IN NEWS Rais wa Rotary Club of Iringa Miraji Vanginothi akiongoza zoezi la upandaji miti katika shule ya wasicahna ya Iringa (Iringa Girls) liliandaliwa na Kikundi cha Rotary Club tawi la Iringa kazi hiyo ikishirikisha wanafunzi wa kidato  cha tano na sita na uongozi wa shule siku ya jumamosi, ambapo zaidi ya miti ya matunda 134 ilipandwa. (Picha na Friday Simbaya) Baadhi ya wanafunzi...

MADIWANI MAFINGA WATAKA UCHUNGUZI MANUNUZI HEWA SEKONDARI YA IHUMO

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2018 IN NEWS BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga limeagiza mamlaka zinazohusika kufanya uchunguzi wa matumizi hewa ya fedha  zilizotolewa kwa ajili ujenzi wa nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Ihumo na atakayebainika achukuliwe hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kusimamishwa kazi. Jumla ya Sh 2,650,000 zikiwemo Sh Milioni 2 zilizotolewa na halmashauri hiyo na Sh 650,000...

MBUNGE KABATI ATOA MSAADA WA MIFUKO 25 YA SARUJI KATIKA KANISA LA FREE PENTECOST CHURCH OF TANZANIA

Posted by Esta Malibiche ON JAN 31,2018 IN NEWS  Mbunge wa viti maalum mkoa wa iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akimkabidhi mchungaji wa kanisa hilo la Free Pentecost Church of Tanzania Francis Okero huku akiwa sambamba na katibu wa chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Iringa  Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akiwa na viongozi mbalimbali  wa chama cha...

MTULIA AZIDI KUITEKA KINONDONI ,SERA ZAKE ZAWA GUMZO

Posted by Esta Malibiche on JAN 31,2018 IN SIASA Mgombea Ubunge katika jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya CCM Maulid Said Mtulia akinadi sera zake jukwaani na  kuomba kura kwa wapiga kura wa Kata ya Ndugumbi. Mgombea Ubunge katika jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya CCM Maulid Said Mtulia akinadi sera zake jukwaani na  kuomba kura kwa wapiga kura wa Kata ya Ndugumbi. Mgombea wa ubunge jimbo la Kinondoni kupitia cha cha Mapinduzi...

Jumapili, 28 Januari 2018

KIKAO CHA BARAZA KUU LA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA CHANFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Posted by Esta Malibiche ON JAN 28,2018 IN SIASA  Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mdolwa akizungumza wakati wa kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo kilichofanyika leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kikao hicho pamoja na mambo mengine kilitarajiwa kuchagua Wajumbe wa Baraza la Utekelezaji  Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mdolwa akizungumza wakati wa kikao cha kwanza...

Jumamosi, 27 Januari 2018

CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE KINONDONI KWA KISHINDO

Posted by Esta Malibiche on JAN 28,2018 IN SIASA  Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba (kushoto), akimnadi kwa wananchi mgombea ubunge Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia wakati wa uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi mdogo kwenye viwanja vya Biafra, Dar es Salaam Jumamosi. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA  Wafuasi wa CCM wakishangilia wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo.  TOT wakitumbuiza wakati wa...

KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU ATEMBELEA GHALA LA KUHIFADHI VIFAA VYA MAAFA DODOMA

Posted by Esta Malibiche on JAN 28,2018 IN NEWS Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Prof. Faustin Kamuzora (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi (Mipango na Tafiti) Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Bashiru Taratibu alipotembelea Moja ya Ghala la kuhifadhi Vifaa vya Maafa lililopo Dodoma Januari 26, 2018.Mkurugenzi Msaidizi (Mipango na Tafiti) Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Bashiru...