Jumapili, 30 Julai 2017

RIDHIWANI KIKWETE ASHUHUDIA MPAMBANO KATI YA STIM TOSHA NA KEKO FURNITURE

Posted by Esta Malibiche on JULY 30,2017 IN MICHEZO


 Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani,Ridhiwani Kikwete akizungumza na Vyombo vya habari uwanjani wakati timu ya Stim TOsha ikicheza na Keko Furniture.
 ""Leo nilikwenda kuangalia timu ya Stim Tosha ikicheza na Keko Furniture"
Katika Mechi hiyo Keko wameshinda kwa penati 4-2 baada ya kutoka Sare ya magoli 1-1 katika muda wa kawaida.






0 maoni:

Chapisha Maoni